LATEST POSTS

Friday, December 9, 2016

MBILIA BELL ET L'AFRISA INTERNATIONAL-TAFSIRI YA WIMBO NAKEI NAIROBI BY OCHOLA ARUM



                                        MBILIA BELL.


                     Wimbo:-Nakei Nairobi (Naenda Nairobi)
                     Msanii:-Mbilia Bell
                     Mahali:-Congo DRC

--Nayoki Nzambe motindo ya mpasi banyokoliyo
Oh! Mungu nimesikia uchungu mwingi walivyo kutesa

--Yaka pembeni nazalise wayo ya motema
 Sogea karibu bado uko moyoni

--Tovandi bomwana tomesani ngai nayo  Donoui.
 Toka tukiwa watoto tuliishi Pamoja

Tobandi bomwonaki  moninga na miso ya mama
 Tulianza kuonekana marafiki machoni mwa mama zetu

--Ezali mabe nayoka okomi na mpasi naza te
Nimesikia habari mbaya kuwa umepata mateso mengi wakati sipo

--Nakoya na Kenya naya kozwa yo tozonga na Kinshasa
Nakuja Kenya naja nikuchukue turudi Kinshasa

--Ya elodie mapasa lokumu ya famii boti wapi!?
Tulikuwa kama napacha heshima ya familia uko wapi?

                                            MUZIKI

--Kicamarade ya bomwana tango mosusu elakaka bondeko
Urafiki unaoanzia utotoni wakati mwingine ni nzuri kuliko undugu

--Toyebani Bomwana totamboli Kenya mobimba ngai na yo
Tulifahamiana toka utotoni na kutembea Kenya yote Mimi na wewe

Nairobi Mombasa Nakuru kisumu toyebani
Nairobi Mombasa Nakuru kisumu tulifahamika

                                              MUZIKI

              Chorus
                              Nakei Nairobi mpo nasalisa Dunoui
                              Naenda Nairobi ili nimsaidie Duni

                               Nakei Nairobi nakozonga na Dunoui
                               Naenda Nairobi ili nirudi na Duni.

                                         -----MWISHO----

NB-WIMBO NAKEI NAIROBI NA WIMBO TWENDE NAIROBI NI NYIMBO MBILI ZENYE MAUDHUI TOFAUTI BALI MIDUNDO SAWA SAWA,MTUNZI ALITUMIA MIDUNDO YA NAKEI NAIROBI KWENYE WIMBO TWENDE NAIROBI AMBAPO ALIALIKWA KWENYE SHEREHE YA MIAKA 21 YA UHURU WA NCHI YA KENYA.

0 comments:

Post a Comment